WASANII WA KIPAJI PESA WAKITOKA LOCATION KUSHUTI VIDEO YA WIMBO WAO WA HATUFANANI

Pichani ni wasanii na baadhi ya watu wa production

Ni siku chache kabla ya hao wasanii kumaliza kurekodi nyimbo yao hiyo na hatimae sasa wanamalizia na video ya nyimbo hiyo.wimbo huo ukiwa umeimbwa na wasanii watatu ambao ni MC MUBA X SIX CIMEN X RASH BOY awali wasanii hao wakiwa wanapiga stori na mwakoba cinema walidai kuwa nyimbo hiyo ni mahususi kwa watu ambao wanawazungumzia vibaya na kuwafosi wafanye mambo wanayo wataka wao

Hiki ni kipande kifupi kinachopatikana katika wimbo huo wa hatufanani

Awali walidai kuwa nyimbo hii ilifanywa na wasanii watatu kabla ya kufanywa tena lakini walimuengua msanii yule kutokana na kutotoa ushirikiano kwa wenzie hivyo wakaamu kumueka mtu mwingine na kufanya nyimbo hiyo kuwa nzuri zaidi ya mwanzo

Kushoto ni six simen katikati ni director Jonas mwakoba na kulia ni Rash boy
Continue reading “WASANII WA KIPAJI PESA WAKITOKA LOCATION KUSHUTI VIDEO YA WIMBO WAO WA HATUFANANI”